Home Afya WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI HOSPITALI YA...

WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI HOSPITALI YA RUFAA SONGWE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Leo Novemba 23, 2023, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, iliyopo katika kijiji cha Hassamba Kata ya Vwawa, Wilaya ya Mbozi.

Mradi huo hadi sasa umetumia bilioni 13 na hadi kukamilika unatarajia kutumia Bilioni 16.7. Baadhi ya majengo ya Hospitali hiyo yamekamilika na mengine yako katika hatua ya ukamilishaji

Hospitali hiyo imeanza kutoa huduma kwa wananchi wa Mkoa wa Songwe na Nchi za jirani ambapo hadi sasa wagonjwa 19,265 wamehudumiwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!