Home Kitaifa WANANCHI: TOZO NI MUHIMU KWA MAENDELEO YETU

WANANCHI: TOZO NI MUHIMU KWA MAENDELEO YETU

Maelfu ya Wananchi jijini Dar es salaam, leo Septemba 01, 2022, wameendelea kutoa maoni mbalimbali kuhusu umuhimu wa Tozo katika maendeleo, Wengi wakieleza namna Tozo zilivyosaidia na zinavyoedelea kusaidia katika kuhakikisha watanzania wote wanapata huduma bora za msingi.

“Tulikuwa na mashaka kidogo kuhusu hizi Tozo, lakini baada ya kuwasikiliza viongozi wetu jana, tumeelewa Tozo hizi zinafanya nini, umuhimu wake ni upi, na zitatisaidaje katika kuboresha maisha yetu na wananchi wote kwa ujumla” – Wananchi

Hata hivyo, Baadhi ya waliotoa maoni, wameeleza kushangazwa kwao na Wananchi wachache kuwa na mtazamo tofauti juu ya Tozo, na kuhoji kwamba tukiwasikiliza hao wachache, Vituo vya Afya, Barabara, Shule na kadhalika, vitajengwa na fedha zipi?

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!