Home Kitaifa WAFANYAKAZI BARRICK BULYANHULU WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA JUMLA TUZO ZA AFYA...

WAFANYAKAZI BARRICK BULYANHULU WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA JUMLA TUZO ZA AFYA NA USALAMA (OHS) 2023

Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu,Cheick Sangare akiongea katika hafla hiyo.

Meneja wa Usalama katika mgodi wa Bulyanhulu,Duncan Mclaren akiongea katika hafla hiyo.

Mfanyakazi wa Barrick Bulyanhulu, Hassan Kalegeya akipokea cheti kutoka kwa Meneja Mkuu wa Mgodi, Cheick Sangare (kushoto)

WalterBlanca Nshimah akipokea cheti

Waziri Kazuvi akipokea cheti

Flora Zakaria akipokea cheti

Emmanuel Mwakanyopole akipokea cheti

Charles Hiza akipokea cheti

Azaely Kitange akipokea cheti

Wafanyakazi wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu walioshiriki maonesho ya OSHA na kufanikisha ushindi wakiwa katika picha ya pamoja na Meneja Usalama wa Mgodi wa mgodi huo Duncan Mclaren wakati wa hafla hiyo.

****

Mgodi wa Barrick Bulyanhulu umewapongeza wafanyakazi wake walioshiriki katika maonyesho ya OSHA 2023 yaliyofanyika mkoani Morogoro, ambapo ulifanikiwa kushinda tuzo kubwa ya mshindi wa juu wa jumla pia ilinyakua tuzo ya uandaaji Ripoti Bora ya Tathmini ya Hatari katika uchimbaji madini na mshindi Bora wa tuzo ya Usalama na afya (OHS) katika sekta ya madini.

Hafla ya kuwapongeza wafanyakazi hao ilifanyika katika mgodi wa Bulyanhulu ambapo walitunukiwa vyeti na Meneja Mkuu wa mgodi huo, Cheick Sangare,ambaye alisema kampuni itaendelea kuhakikisha sera yake ya usalama inatekelezwa kwa vitendo.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!