Home Kitaifa TANESCO YATOA TAARIFA KUHUSU HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRID YA TAIFA

TANESCO YATOA TAARIFA KUHUSU HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRID YA TAIFA

Shirika la umeme Tanesco limetoa taarifa kuhusu hutilafu kwenye mfumo wa gridi ya taifa.

Taarifa hiyo imetolewa baada ya kukosekana kwa huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo kuanzia majira ya saa 8:22 usiku

Aidha wamesema waataalamu wao wanaendelea na jitihada za kurejesha huduma, Shirika linaomba uvumilivu wateja wake katika kipindi hiki ambacho huduma ya umeme inakosekana

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!