Home Kitaifa NMB KUFADHILI MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI 100.

NMB KUFADHILI MASOMO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI 100.

Na Elizabeth John,Njombe.

Benki ya NMB imekuja na mpango wa kufadhili masomo ya elimu ya juu kwa wanafunzi 100 wanaotoka mazingira magumu ambao wanafanya vizuri katika masomo yao ikiwa ni njia moja wapo za kusaidia jamii.

Hayo yamesemwa na mkuu wa idara ya huduma na biashara za serikali NMB Vicky Bishubo,katika uzinduzi wa Mwalimu Spesho iliyofanyika mjini hapa.

Kwa upande wa mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka,amesema uwepo wa Mwalimu Spesho kupitia benki ya Nmb utasaidia janga la walimu kutapeliwa mara kwa mara na watu au taasisi zenye riba kubwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!