Home Kitaifa NAIBU WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TIGO , MAADHIMISHO YA USALAMA NA...

NAIBU WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TIGO , MAADHIMISHO YA USALAMA NA AFYA KAZINI

Mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Kimataifa ya Usalama na Afya mahala pa kazi , Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Afya na Usalama mahala pa Kazi wa Kampuni ya Tigo Bwn. Dismas Anthony  , kuhusu namna Tigo inavyoshirikiana bega kwa bega na serikali katika kuhakikisha usalama wa wafanyakazi  kuwa ni jambo linalopewa kipaumbele , kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Kazi , Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!