Home Makala JINSI NILIVYOBEBA UJAUZITO BAADA YA KEJELI NYINGI

JINSI NILIVYOBEBA UJAUZITO BAADA YA KEJELI NYINGI

Naitwa Mama Tamara kutokea Mombasa nchini Kenya, naweza kusema ilisalia kidogo tu niweze kuondoka katika ndoa yangu baada ya maneno kutoka kwa ndugu wa mume; walikuwa wanadai sina faida kwa ndugu yao maana nimeshinda kumpatia mtoto!.

Ukweli ni kwamba tamaduni nyingi za Kiafrika kwa kiasi fulani zinawakandamiza sana wanawake pale ambapo wanaolewa na kukaa muda mrefu bila kujaliwa watoto hasa ndani ya ndoa zao. 

Ndugu, jamaa na marafiki hasa kutoka upande wa mume huanza maneno ya kejeli, kashfa, zarau na mengine mengi ya kuudhi kwenda kwa mke wa ndugu yao kisa tu hajajaliwa kupata mtoto jambo ambalo muda mwingi unakuta lipo nje ya uwezo wake. 

Wanawake wengi ambao katika maisha yao ya ndoa walichelewa kupata mtoto, wamekumbana na hali hiyo kwa kiwango kikubwa, wengine wameshindwa kuvumilia na kuamua hata kuondoka katika ndoa zao.

Kwangu jambo hilo lilinitia sana uchungu moyoni mwangu, nilihuzunika sana kwani mimi mwenyewe nilikuwa na kiu sana ya kupata mtoto, nilikuwa naona wivu nikiona wanawake wenzangu wana watoto wao ila naweza kusema wakati wangu ulikuwa bado haujafika.

Rafiki yangu, Sama Salma alikuja nyumbani kwangu kunitembelea kipindi kimoja hivi, nilimueleza changamoto hiyo ambayo nimekuwa nikipitia katika ndoa yangu kwa muda mrefu.

Usiwe na wasiwasi hata mimi pia nilichelewa kupata mtoto nilipoolewa, nilikuja kupata mtoto baada ya kutumia dawa kutoka kwa Kiwanga Doctors, hivyo usiwe na wasiwasi utapata tu usaidizi rafiki yangu,” alisema.

Mama Salma alinipa namba za Kiwanga Doctors na niliporudi nyumbani kwangu niliweza kuwasiliana naye, niliongea naye jinsi ambavyo nimekuwa nikipitia changamoto nyingi sana kwenye ndoa yangu kisa tu nimechelewa kupata mtoto.

Basi aliweza kunitumia dawa na kunipa maelekezo ni namna gani naweza kuzitumia, nilitumia dawa zile kwa matumaini makubwa maana Mama Salma ni mtu ambaye nimefahamiana naye miaka mingi, asingeweza kunishauri kutumia dawa ambayo sio sahihi.

Hatimaye nashukuru kipindi kile kile niliweza kubeba ujauzito wangu wa kwanza, wale ndugu waliokuwa wananikejeli walianza kuona aibu sana, wengine walianza kuwa karibu na mimi na kutaka tuwe marafiki wakati mwanzo walinisengenya.

Kwa sasa mimi ni mama wa watoto wawili ambao ni Tamara na Hussein, kutoka chini ya sakafu ya moyo wangu, nashukuru maisha yangu ya ndoa sasa wamekuwa na utulivu mkubwa sana na ninaendelea vizuri pamoja na watoto wangu.

Kiwanga Doctors anapatikana kwa namba +254 769404965 au tembelea tovuti yake www.kiwangadoctors.com.

Mwisho.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!