Home Kimataifa DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KAMATI YA MAWAZIRI WA FEDHA NA UWEKEZAJI...

DKT. NCHEMBA ASHIRIKI MKUTANO WA KAMATI YA MAWAZIRI WA FEDHA NA UWEKEZAJI WA SADC-KINSHASA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt  Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kushoto na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe (MB), wakishiriki Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha  na Uwekezaji wa jopo la Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika Mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt  Mwigulu Lameck Nchemba  akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  Mawaziri wa Fedha  na Uwekazaji kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa SADC uliohusu Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya hiyo, uliofanyika mjini Kinshasa,  Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!