Home Biashara DKT.KIJAJI AMEWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA KUNUNUA BIDHAA KUTOKA TANZANIA

DKT.KIJAJI AMEWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA KUNUNUA BIDHAA KUTOKA TANZANIA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewahimiza na kuwahamasisha wafanyabiashara wa Saudi Arabia kuongeza kasi ya kununua bidhaa kutoka Tanzania pamoja na kuja kuwekeza nchini

Waziri kijaji ameyasema hayo Aprili 29, 2024 alipokutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Mauzo Nje wa Saudi Arabia Bw. Abdulrahman Al Thukair alipokuwa akishiriki Mjadala kuhusu mageuzi ya nishati duniani wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani unaloendelea Jijini Riyadh, Saudi Arabia.

Kwa upande wake Mkurugenzi huyo ameahidi kuongoza ujumbe wa wafanyabiasha na wawekezaji wakubwa kuja nchini Tanzania kwa lengo la kujionea fursa hizo.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!