visiwa vidogo wanapatiwa maji safi na salama ifikapo 2025.
Hivyo alisema, serikali ya awamu ya nane chini ya uongozi wa Dk. Hussein Ali Mwinyi imepokea agizo hilo na kwamba wasaidizi wake kwa ngazi ya mkoa wanayatekeleza na kusimamia kazi hiyo.
Hivyo alisema, mkoa huo wanaendelea na ujenzi wa matanki na uchimbaji wa visima takribani vinne ambapo vyote vimekamilka na eneo jengine ni ulazaji wa mabomba lengo likiwa ni upatikanaji wa maji katika mkoa huo uwe ni wa uhakika.
MWISHO