Home Kitaifa BALOZI DKT PINDI CHANA AKIPITISHWA KATIKA TAARIFA YA MAENDELEO UJENZI WA BARABARA...

BALOZI DKT PINDI CHANA AKIPITISHWA KATIKA TAARIFA YA MAENDELEO UJENZI WA BARABARA IFADHI YA NGORONGORO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi, Dkt.Pindi Chana(Mb) akipitishwa katika taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa barabara kutoka Loduare – Golini (83km) pamoja na kipande cha kuunganisha Makumbusho ya Bonde la Olduvai (5km) katika kiwango cha tabaka gumu ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro(NCAA).

Kikao hicho kilichohudhuriwa na Kamishna SACC- Salma Chissonga, Kaimu Makamishna kutoka NCAA na Kamati ya Uhifadhi wa Faru Kitaifa kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kimefanyika leo Februari 13,2025 jijini Dodoma.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!