Home Kitaifa PICHA : TIGO YASHIRIKI SELOUS MARATHON MSIMU WA SITA 2024

PICHA : TIGO YASHIRIKI SELOUS MARATHON MSIMU WA SITA 2024

Na Mwandishi Wetu.

Kampuni ya Mawasiliano Nchini Tigo Tanzania imeshiriki Msimu wa Sita wa Mbio Maarufu za SELOUS MARATHON zilizofanyika Leo , Agosti , 24 , 2024 Mkoani Morogoro. Kampuni hiyo imeshiriki mbio hizo kwa kutoa huduma mbalimbali za Kidigitali kwa Washiriki kabla, wakati na baada ya Mbio . 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!