Home Kitaifa MAPOKEZI YA KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI KATIKA OFISI ZA CCM MKOA WA...

MAPOKEZI YA KATIBU MKUU DKT. NCHIMBI KATIKA OFISI ZA CCM MKOA WA KATAVI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili na kukaribishwa na Viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na Serikali wa Mkoa wa Katavi.

Dkt. Nchimbi ameambatana na Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Amos Makalla Pamoja na Katibu wa NEC – Oganaizesheni Ndugu Issa Ussi Haji Gavu.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!