Home Kitaifa MAKONDA AUNGURUMA KASULU VIJIJINI , ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

MAKONDA AUNGURUMA KASULU VIJIJINI , ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda akisalimiana na kuzungumza na Wananchi wa Kasulu Vijijini Mkoani Kigoma.

Akiwa hapo, amesikiliza na kusaidia kuzipatia utatuzi kero na changamoto mbalimbali za Wakazi wa eneo hilo.

Makonda yupo mkoani Kigoma kwa muendelezo wa ziara yake ya Mikoa 20 Back To Back.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!