Monday, September 16, 2024
Home 2024

Yearly Archives: 2024

CCM YARIDHISHWA UTENDAJI KAZI NA UFATILIAJI MIRADI YA TANROADS MKOA WA MARA

0
Na Shomari Binda-Musoma CHAMA cha Mapinduzi CCM kimedai kuridhishwa na utendaji kazi na ufatiliaji miradi ya barabara inayofanywa na Wakala wa Barabara Tanroads mkoa wa...

TDSA YAJA NA ‘AFYA JUMUISHI’ KUPUNGUZA TATIZO AFYA YA KINYWA NCHINI.

0
Na Boniface Gideon -TANGA Taasisi ya Wanafunzi wa meno Tanzania 'TDSA',imesema kwasasa imeamua kutambulisha mfuko mpya wa lugha za utoaji wa huduma zinazojulikana kama 'Afya...

BARAZA LA MADIWANI LUSHOTO HAWANA IMANI NA (NEMC) BAADA YA KUPEWA ELIMU YA MADINI...

0
Mwenyekiti wa Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Mathew Paul amesema Elimu iliyotolewa na nemc kama Baraza hawajaridhishwa na inabidi...

KATA YA BWIGIRI KUPEWA MBINU YA KULINDA WANAWAKE WENYE ULEMAVU NA WATOTO DHIDI YA...

0
Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope (FDH) imezindua mradi wa kuzuia ukatili dhidi ya Wanawake na watoto wenye ulemavu katika kata ya Bwigiri mkoani...

BENKI YA BIASHARA TANZANIA ( TCB ) YATANGAZA KUSAIDIA UKUAJI WA FILAMU NA SANAA...

0
Katibu Mkuu, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Gerson Msigwa ( katikati ) akiwa na waandaaji na wadau wa tamasha hilo. Na Mwandishi Wetu. Benki...

TCB KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPANUA BIASHARA NJE YA NCHI

0
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kupanua wigo wa uwekezaji nje ya mipaka ya nchi. Hayo yameelezwa wakati wa kikao...

MHE. MWINJUMA ATETA NA BALOZI WA ITALY DODOMA

0
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Hamis Mwinjuma (mwanafa) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Italy nchini, Mhe. Giuseppe Sean...

TANZANIA YAJIPANGA KUTUMIA NISHATI YA NYUKLIA KUZALISHA UMEME

0
Tanzania imeeleza mpango na utayari wake katika uendelezaji wa nishati ya nyuklia ikiwa ni moja ya vyanzo mbadala vya nishati safi ya umeme kwa...

SERIKALI YAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI

0
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita itahakikisha inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara na wawekezaji...

TOENI TAARIFA ZA BIDHAA ZISIZO RASMI – MAJALIWA

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania watoe taarifa kwa mamlaka husika pindi wanapokuta kuna bidhaa zisizo rasmi zimeagizwa kutoka nje, zinazalishwa au zinasambazwa nchini. Ametoa...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma 2024,
Karibu Tukuhudumie..