WALIOKIMBIA SOKO NA KUVAMIA ENEO LA BARABARA YA TANROADS MARA WATAKIWA KUONDOSHWA
Na Shomari Binda-Musoma
WAFANYABIASHARA wa soko la Nyamatare lililopo manispaa ya Musoma wamemuomba mkuu wa Wilaya ya Musoma Juma Chikoka kuwaondosha wafanyabiashara wanaofanya biashara nje...