Friday, September 20, 2024
Home 2024 August

Monthly Archives: August 2024

MALIKI HASHIMU (GOBA) ARUHUSIWA KWENDA NYUMBANI WAZAZI WAMSHUKURU MHE. RAIS

0
Na Mwandishi wetu--Dar es salaam Mtoto Maliki Hashimu, mkazi wa Goba Jijini Dar es Salaam, aliyekuwa akitibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kutokana na majeraha...

TUZO ZA TAMTHILIA ZA KIMATAIFA KUZINDULIWA AGOSTI 24,2024

0
Na Magrethy Katengu-Dar es salaam WASANII filamu za Bongomovie wameshauriwa kuchangamkia fursa waliyopewa Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar...

TIA -KUFUNGUA TAWI JIPYA MKOA WA TANGA

0
Na Monica Sibanda - dodoma Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA inatarajia kufungua tawi lao kubwa Tanga ambalo wanategemea kwamba litakua linafundisha wanafunzi kwanzia level mbalimbali. Hayo...

VIJANA MOSHI VIJIJINI WAASWA KUSHIRIKI KWENYE MICHEZO.

0
Na ashrack miraji. Mdau wa maendeleo Kutoka Jimbo la Moshi vijijini Enock Koola amewasihi vijana kuchangamkia fursa ya michezo kwani michezo ni ajira. akizungumza na kituo...

AMOSI LWIZA MBARONI KUSAMBAZA TAARIFA ZA KUMZUSHIA BINTI ALIYEFANYIWA UKATILI KUWA KAFARIKI

0
Na Magrethy KatenguDar es salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji kwa kina Amos Lutakulemberwa Lwiza mwenye umri wa...

WATUMISHI WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA

0
Na Mariam Muhando_Dar es salaam. Mbunge wa Viti Maalum anaewakilisha Wafanyakazi Dkt Alice Kaijage amewatakata Watumishi Nchini kujitokeza katika Zoezi la Uandikishwaji wa Daftari la...

MWAKAGENDE AIPA KONGOLE TTCL KWA MABORESHO YA MIFUMO YA KIDIGITALI

0
Na Monica sibanda-Dodoma Muwakilishi wa wanawake mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Sophia Mwakagende...

NAIBU WAZIRI SILINDE ASHUHUDIA UJIO WA NEEMA KUBWA SEKTA YA KILIMO , MKATABA...

0
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde ( aliyesimama kati kati ) akishuhudia utiaji saini mkataba wa mashirikiano (MOU) kati ya taasisi tatu ambazo...

FCS NA TCRA CCC WAINGIA MKATABA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WATUMIA HUDUMA ZA MAWASILIANO...

0
Na Magrethy KatenguDar es salaam Asasi ya kiraia Foundation for Civil Society (FCS) na Baraza la Ushauri la watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA...

SMZ IMEDHAMIRIA KUSIMAMIA UBORA WA BIDHAA-DKT.MWINYI

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema katika utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020 hadi 2025...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma August 2024,
Karibu Tukuhudumie..