BARABARA ZA VIJIJINI KUFUNGUA RUANGWA – MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kufungua mtandao wa barabara za vijijini katika wilayaya Ruangwa ili ziweze kusaidia wananchi kusafirisha mazao yao.
Waziri...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KATIKA MSIBA WA MKE WA MNADHIMU MKUU WA...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 24, 2024 amehani msiba wa Jokha Hassan Omary ambaye ni Mke wa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi...
TANESCO REA ZASHAURIWA KUNUNUA TRANSFORMA TANALEC, GENERAL TYRE KUFUFULIWA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo(Mb) ametoa rai kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Umeme Vijijini (REA) kuongeza...
PICHA : TIGO YASHIRIKI SELOUS MARATHON MSIMU WA SITA 2024
Na Mwandishi Wetu.
Kampuni ya Mawasiliano Nchini Tigo Tanzania imeshiriki Msimu wa Sita wa Mbio Maarufu za SELOUS MARATHON zilizofanyika Leo , Agosti , 24...
DC SAME AMEWATAKA WAWEKEZAJI WA MADIN YA GYPSUM (JASI) KUSHIRIKIANA NA ALMASHAURI
Ashrack Miraji Same Kilimanjaro
Mkuu wa Wilaya ya Same Kasilda Mgeni amewataka wawekezaji wa Madini ya Gypsum (JASI) Makanya kushirikiana na Halmashauri pamoja na...