WAZIRI CHANA AKABIDHIWA RASMI OFISI NA MHE. KAIRUKI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki...
TOENI ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UGONJWA WA MPOX;WAZIRI MHAGAMA
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama amewataka wataalamu wa Afya nchini kuongeza kasi ya kutoa elimu ya ugonjwa wa Mpox ili wananchi wawe na...
MAELFU WAJITOKEZA MAZIKO YA SHEIKH WA WILAYA YA MUSOMA SELEMANI MUSA MAGOTI
Na Shomari Binda-Musoma
MAELFU ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali wamejitokeza kwenye maziko ya Shekh wa Wilaya ya Musoma Selemani Musa Magoti.
Miongoni mwa waliojitokeza kwenye maziko...
HIACE YAKAMATWA IKIWA NA DAWA ZA KULEVYA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limemkamata mtuhumiwa mmoja pamoja na Gari aina ya TOYOTA HIACE yenye namba za usajili T. 886 DCU akiwa...
MGORE ACHANGIA SARUJI, MAWE UJENZI NYUMBA YA KATIBU JUMUIYA YA WAZAZI MUSOMA MJINI
Na Shomari Binda-Musoma
MJUMBE wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Mgore Miraji amechangia mifuko 20 ya saruji na "treep 10" za...
WAHUDUMU WA AFYA WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSU UGONJWA MPYA WA MPOX
WAHUDUMU wa Afya ngazi ya jamii wameaswa kutoa elimu kwa umma kufahamu namna ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Mpox uliotangazwa hivi karibuni na...
MAMLAKA 21 KATI YA 85 ZINA MIUNDOMBINU YA MAJI TAKA.
Taarifa za Wizara ya Maji zinaonesha hadi Aprili, 2024 mtandao wa majitaka nchini ulikuwa kilometa 1455.93 ikilingalishwa na kilometa 1416.9 za Aprili, 2023, idadi...
BENKI YA TCB YAAHIDI KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUWAWEZESHA WAKULIMA KUPITIA MIKOPO
.
Benki ya Biashara ya Tanzania (TCB) imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita chini ya Mh. Dkt. Rais Samia Suluhu...