Wednesday, September 11, 2024
Home 2024 August 14

Daily Archives: August 14, 2024

SERIKALI KUHUISHA ANWANI ZA MAKAZI MILIONI 12.3 NCHI NZIMA

0
Serikali imesema imekusanya taarifa za Anwani za Makazi Milioni 12.3 nchi nzima, zinazotakiwa kuhuishwa kila wakati ili ziendelee kuwa taarifa sahihi wakati wote kwa...

MBUNGE MATHAYO, MEYA GUMBO WAHAIDI KUZITAFUTIA UFUMBUZI KERO ZA WANANCHI

0
Na Shomari Binda-Musoma MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo na Meya wa manispaa ya Musoma Patrick Gumbo wameahidi kuzitafutia ufumbuzi kero mbalimbali za...

TBS WAFUNGUA MASHINDANO YA TUZO ZA UBORA KITAIFA AWAMU YA TANO 2024/2025

0
Na Mwandishi Wetu.  SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limefungua mashindano ya tuzo za ubora kitaifa awamu ya tano kwa mwaka 2024/2025 ili kuweza kuwatambua na...

RC SENDIGA AAGIZA MIUNDOMBINU YA SHULE YA MANYARA ‘GIRLS’ KUKAMILISHWA

0
Mkuu wa mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga leo Agosti 14, 2024, ametembelea Shule ya mpya wasichana ya Manyara Girls na kuongea na wanafunzi...

MBUNGE AWATAKA WANAFUNZI KUFIKIA NDOTO ZAO

0
MBUNGE wa Vijana Ng'washi Kamani amewataka Wanafunzi wa kike kujitunza ili waweze kufikia malengo yao ya baadaye waliyojiwekea. Wito huo ameutoa leo katika Shule ya...

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CUBA

0
Aahidi kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali za Tanzania na Cuba zitaendelea kushirikiana katika sekta za Elimu, Afya, Kilimo,...

WIZARA YA MADINI KUIBUKA NA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI

0
Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Kampuni mbalimbali za uchimbaji na uchakataji madini inatarajia kuanzisha miradi mikubwa ya kimkakati itakayohusisha mnyororo mzima katika Sekta...

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA ELIMU WA EAC

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Jumuiya ya Afrika Mashariki inaweza kutumia vema idadi kubwa ya...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma August 14, 2024,
Karibu Tukuhudumie..