Thursday, September 19, 2024
Home 2024 July

Monthly Archives: July 2024

PROF. KITILA MKUMBO AVUNJA UKIMYA TAHARUKI YA UTEKAJI WATOTO

0
Katika siku za Karibuni kumekuwa na wimbi la upotevu wa watoto katika maeneo mbalimbali nchini huku wakidaiwa kuwa wanatekwa na watu wasiojulikana jambo ambalo...

FANYENI KAZI KWA BIDII KULINDA TASWIRA YA TARURA

0
Wafanyakazi wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kulinda taswira nzuri ya...

KINGO ZA MTO CHINA NA GIDE KUJENGWA NA DMDP – PROF. KITILA MKUMBO

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amesema mto China ambao umekuwa changamoto...

DKT. MAHERA AELEKEZA MABADILIKO KWA WARATIBU WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA WALIOSHINDWA KUTOA TAKWIMU

0
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI anayeshughurikia Afya Dkt. Charles Mahera amemuelekeza Mkurugenzi wa huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe...

TAMASHA LA UTALII LUSHOTO KUIBUA FURSA MPYA ZA AJIRA KWA WANANCHI

0
Na. Ashrack Miraji, Mzawa Online Lushoto, Tanga Tamasha la Utalii Wilayani Lushoto mkoani Tanga liitwalo USAMBALA TOURISM FESTIVAL linatarajiwa kufanyika mwezi Septemba mwaka huu ambapo Mkuu...

KADI ZA MPIGA KURA ZENYE JINA LA ZAMANI LA TUME NI HALALI

0
Kadi za mpiga kura zilizotolewa mwaka 2015 na 2020 ni halali na zitaendelea kutumika kwenye chaguzi kuu zijazo bila kujali mabadiliko ya jina la...

PROF. KITILA MKUMBO AAHIDI ARDHI YA KILIMO KWA BODABODA WA MABIBO

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo akiwa ziarani katika Kata ya Mabibo...

PROF. KITILA AAHIDI BARABARA YA BINTI KAYENGA KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI KUPITIA DMDP

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo akiwa ziarani katika Kata ya Mabibo...

TANESCO WAFIKISHA UMEME KWA MARA YA KWANZA KATIKA KISIWA CHA CHOLE KWA KUPITISHA CHINI...

0
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Pwani limefanikiwa kufikisha Umeme katika kisiwa cha Chole kwa kupitisha chini ya Bahari katika kisiwa ambacho hakijawai...

WADHAMINI WAOMBWA KUDHAMINI USIKU WA WAFIA DANSI

0
Mratibu wa tamasha la Usiku wa Wafia Dansi bwana Bernard James amewaomba wadhamini kujitokeza kwa wingi kudhamini tamasha hilo ili lifane zaidi Tamasha hilo lenye...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma July 2024,
Karibu Tukuhudumie..