DKT. BITEKO MGENI RASMI UZINDUZI WA SERA YA TAIFA BIASHARA 2003 TOLEO LA 2023
Na Magrethy Katengu -Dar es salaam
Tanzania imefika , mauzo ya nje kwenye Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika yameongezeka kutoka shilingi trilioni 2.607...
SERIKALI HAIKUBALIANI NA HAITOKUBALIANA NA VITENDO VIOVU DHIDI YA WATOTO
Na Magrethy Katengu--Dar es salaam
Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema kamwe haikubliani na haitakubaliana na vitendo vya kihalifu wanavyofanyiwa baadhi...
WANAWAKE KATA YA KITAJI WATAKIWA KUSHIKAMANA KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
Na Shomari Binda-Musoma
WANAWAKE wa Kata ya Kitaji manispaa ya Musoma wametakiwa kushikamana na kupendana katika kuelekea uchaguzi wa mitaa.
Kauli hiyo imetolewa leo julai 28...
DAS SAME AWATAKA WANANCHI KUZINGATIA LISHE BORA,WASILE KUJAZA TUMBO
Ashrack Miraji Same Kilimanjaro
Katibu Tawala Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro,Upendo Wella amewataka wananchi kuzingatia ulaji wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi lishe vitakavyosaidia kuboresha afya...
PWANI YAPATIWA WAUGUZI 120 ILI KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA WAUGUZI
MKOA wa Pwani umepatiwa Wauguzi 120 ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa kada hiyo.
Hayo yamesemwa mjini Kibaha na Katibu Tawala Mipango na Uratibu...
WANAWAKE VIONGOZI VIJANA NCHINI WATAKIWA KUENZI KISWAHILI
Wanawake Viongozi vijana kutoka Tanzania watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda wakati walipokwenda kwenye mkutano wa Wanawake Viongozi vijana wa Afrika uliofanyika Kampala Uganda...
MCHINJITA AKOSOA SERA ZA KILIMO ZA WAZIRI BASHE
Na Ritha Jacob - Ruvuma
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Bara, Issiaka Mchinjita, ametoa wito kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kumtafutia wakala...
MAHAKAMA YAMUACHIA HURU ALIYEKUWA MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI YA MAFIA
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mafia imemuachia huru mshtakiwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Ndugu Kassim Ndumbo baada ya kukosekana ushahidi...
SERIKALI INA MAHUSIANO MAZURI NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema maendeleo yaliyopo nchini hivi sasa yametokana na uhusiano mzuri uliopo baina ya Serikali na sekta binafsi.
“Maendeleo tunayoyaona nchini kwetu...
HOTELI YA THANDA YA WILAYANI MAFIA YAPIGWA MARUFUKU KUCHOMA TAKA KWENYE HIFADHI YA BAHARI...
Baraza la Taifa la Huifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Kanda ya mashariki kusini wapiga marufuku uchomaji taka katika hifadhi ya Bahari kwenye Hotel...