Friday, September 20, 2024
Home 2024 June

Monthly Archives: June 2024

MWANAHARAKATI BIHIMBA ACHANGIA LAKI 5 , TOFALI ZA UJENZI WA MSIKITI

0
 Na Mwandishi Wetu. Mwanaharakati huru Bihimba Nassoro Mpaya leo Juni 17,2024 ametoa jumla ya Shilingi Laki tano (5) kwaajili ya kununua Matofali 500 ambayo yatatumika...

TADB, WATANZANIA WANAWATEGEMEA KATIKA ELIMU NA MIKOPO – Dkt. Biteko

0
NAIBU Waziri Mkuu Dkt. Dotto Biteko amesema Watanzania wanawategemea katika uwezeshaji wa elimu na mikopo Banki ya maendeleo ya kilimo nchini TADB kwani Banki...

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KATIKA UTUNZAJI WA FEDHA

0
Kutunza fedha ni jambo muhimu sana kwa wajasiriamali ili kuhakikisha biashara inaendelea kukua na kuimarika. Hapa kuna mambo muhimu ya kuzingatia katika kuitunza fedha...

MHE. CHANDE AIPONGEZA MKOMBOZI PLC BENKI KWA KUPANDA DARAJA LA SOKO LA UJASIRIAMALI –...

0
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande, amezitaka kampuni na taasisi za fedha zilizo kwenye daraja la Soko la Ujasiriamali (EGM) kuweka mikakati...

DKT. MPANGO AWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA KAMUZU

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe nchini...

WANANCHI 291 WAKIWA NA MIFUGO 686 WASEMA “BYE BYE” NGORONGORO

0
Kundi la 17 katika awamu ya pili lenye kaya 47, watu 291 na mifugo 686 limehama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji...

OPERESHENI WILAYA YA UBUNGO,SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JUNI 16, 2024

0
https://youtu.be/8wPDrpCjyWo Mkuu wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko, amewataka wakazi wote wa wilaya hiyo kushirikiana na serikali katika kutokomeza biashara ya ukahaba katika maeneo yao....

KAGERA KUENDELEA NA MAPAMBANO  KUPUNGUZA MAAMBUKIZI DHIDI  YA  MALARIA.

0
Theophilida Felician Kagera. Mkoa Kagera ukiwa ni miongoni mwa mikoa yenye kukabiliwa na changamoto ya maambukizi ya  ugonjwa tishio wa malaria mratibu wa malaria Mkoa...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma June 2024,
Karibu Tukuhudumie..