WAZIRI KAIRUKI ATOA WITO KWA NCHI WANACHAMA WA AFR100 KUWEKA MIFUMO YA UFUATILIAJI KATIKA...
Na Magrethy Katengu--Dar es salaam
Waziri wa Maliasili wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkakati wa kuokoa...
SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA ATETA NA VIONGOZI WA CRDB
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya...
RAIS WA GUINEA BISAU KUZURU TANZANIA SIKU TATU KUANZIA JUNI 21-23, 2024
Na Magrethy Katengu--- Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Guinea Bissau ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Muungano wa Viongozi wa Afrika katika...
AFCFTA KUONGEZA MAUZO YA NJE NA KUBORESHA UWIANO WA BIASHARA
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt Hashil Abdallah amesema utekelezaji wa Mkataba wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) katika kuondoa vikwazo...
TANZANIA NA SAUDI ARABIA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
📌Serikali kuimarisha maghala ya mafuta nchini
📌Dkt. Biteko akaribisha uwekezaji wa uzalishaji wa dawa za mifugo
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Naibu...
MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA KUANZA KUTOA TIBA MUSOMA JUNI 24
Na Shomari Binda-Musoma
MADAKTARI bingwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wataanza kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwenye...
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA BRITISHI INVESTIMENT
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa...
MFUMO WA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA AFCFTA NI MUHIMU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Bi. Fatma Mbarouk amesema ni muhimu kuwa na mfumo utakaosaidia kuangalia Utekelezaji wa...