MAMA MKWE ANUSURIKA KUUAWA NA MKWEWE
Kijana James Mwala alikuwa hana budi kumpeleka mama yake mzazi katika kituo cha kutibu waraibu wa dawa za kulevya baada ya mkewe Jesca Mwala...
WAZIRI ULEGA ACHANGIA UJENZI WA UKUMBI WA CCM MKOA WA PWANI BOKSI 200 ZA...
Na Scolastica Msewa, Kibaha.Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga amemaliza ahadi yake aliyoitoa Kwa Chama...
KARIBU KILI FAIR 2024 KUCHOCHEA UTALII WA ARUSHA – RC MAKONDA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Christian Makonda amesema maonesho ya Karibu Kili Fair 2024 yanayotarajiwa kuanza Juni 7 Mwaka huu yatachochea na kusisimua...
KUELEKEA SIKU YA CHAKULA SALAMA DUNIANI JUNI , 07 TBS WAFUNGUKA HAYA USIYOYAJUA
Na Mwandishi Wetu.
Katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Chakula Salama Duniani, Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wananchi kuhakikisha chakula kinakuwa salama kabla ya...
TIGO WATAMBULISHA ” Energizer U652S yenye 4G ” SIMUJANJA MPYA SOKONI
Daniel Nnko ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Ukuzaji wa Masoko - Tigo (kushoto) akipata maelezo kuhusu simu janja ya Energizer U652S yenye 4G kutoka kwa Afisa...
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKATILI KWA WAZEE KUFANYIKA KITAIFA MKOANI MARA
Na Shomari Binda-Bunda
Katika kuadhimisha siku ya kupinga ukatili dhidi ya wazee kimataifa juni 15, 2024, kitaifa yatafanyika katika mkoa wa Mara ambapo kabla ya...
WAJASIRIAMALI WADOGO WAPATA ELIMU YA FEDHA SUMBAWANGA
Na. Eva Ngowi, Rukwa
Serikali kupitia Wizara ya Fedha itaendelea kuwashauri wananchi kwa ujumla kushiriki kwa wingi katika semina zinazoendelea kutolewa kuhusiana na elimu ya...
DKT. NCHEMBA ALIOMBA BUNGE KUHIDHINISHIA WIZARA YAKE BAJETI YA TRILIONI 44.19
Na Benny Mwaipaja, WF-Dodoma
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuiidhinishia Wizara yake makadirio ya...
WAKAZI WA KIGOMA WASHAURIWA KUWEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI
Na Chedaiwe Msuya, WF, Kigoma.
Wananchi Mkoani Kigoma wametakIwa kujenga utamaduni wa kuwekeza fedha zao kwa kununua Hati Fungani mbalimbali zinazouzwa na Serikali ili iwe...
NSSF WAIPIGIA CHAPUO HUDUMA MPYA YA NSSF TAARIFA
Na Boniface Gideon -TANGA
MFUKO wa Taifa wa Hifadhi za Jamii nchini (NSSF) wameshiriki maonyesho ya 11 hya Biashara na Utalii yanayoendelea kwenye viwanja vya...