WAZIRI WA UTALII ZANZIBAR AWANONG’ONEZA JAMBO TIGO , MAONESHO YA UTALII KILI FAIR 2024
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga (katikati) akimuelezea jambo, Kaimu Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Bw. Daniel...
BOUGAINVILLEA YAWAITA WATANZANIA KUTEMBELEA UTALII WA NDANI.
Na Boniface Gideon -ARUSHA
Kampuni ya Utalii kupitia huduma za kulala ya Bougainvillea group of lodges imewaomba wa Watanzania kufanya Utalii wa ndani,Mkurugenzi wa kampuni...
DKT. MPANGO; DIRA 2050 NI MUHIMU ITAMBUE MAHITAJI YA VIJANA NA KUBEBA MATAMANIO YAO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Dira 2050 ni muhimu itambue mahitaji ya vijana na kubeba ...
TBS NA WADAU WAFANYA MDAHALO , MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA SALAMA DUNIANI 2024
.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeadhimisha Siku ya Chakula Salama Duniani kwa kuendelea kusisitiza ulaji wa chakula salama kwa wananchi ili kuondokana na madhara...
WATUHUMIWA 16 MBARONI KUHUSIKA NA VITENDO VYA KIHALIFU
Na Magrethy Katengu-- Dar es salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 16 kuhusika na vitendo vya kihalifu ikiwemo...
SOMA HAPA … ZIGO LA EURO CUP NA HISENSE , WENGINE TENA WAPEWA TV...
Emmanuel Mlonjela - Mhandisi Mkazi wa Dar es Salaam ( Kushoto ) ambaye ni mshindi wa tiketi ( Wiki ya Pili ) Kampeni ya ZIGO...
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAIOMBA SERIKALI TOZO ZOTE ZA MIZIGO KUISHIA BANDARINI
Na Magrethy Katengu-- Dar es salaam
JUMUIYA ya wafanyabiashara Kariakoo wamemuomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kutoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kushughulikia...
MWANAMKE MJAMZITO AFUMANIWA NA MUMEWE NYUMBA YA WAGENI
Naitwa Michael, wakati namwambia Baba nataka niondoke nyumbani niingie mtaani kupambana hakutaka kunielewa maana alikuwa anasema nitaishia kwenye uhuni na mwisho wa siku matatizo...