MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEA KUIPA KIPAUMBELE SEKTA YA MICHEZO
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa kipaumbele kwa kuwa...
BANANGA AZITAKA ASASI JIJINI DAR ZIFUNDISHE JAMII KUKATAA RUSHWA
Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Dar es salaam Ally Bananga amezitaka Asasi za Kiraia zilizo katika mkoa huo...
WAZIRI MHAGAMA AIPONGEZA SUKOS KOVA FOUNDATION KWA KUANDAA MAFUNZO YA UOKOAJI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama amepongeza taasisi ya Sukos Kova Foundation na...
SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 10, 2024
Soma kurasa za mbele za magazeti ya leo Jumatatu Juni 10, 2024
ASHINDA JACKPOT KSH 230 MILIONI
Kutana na Tumaini Mwangi ambaye ni mtu mwenye furaha na mafanikio, aanamiliki jumba la kifahari huko Runda, Nairobi nchini Kenya, pia ana magari na...
SMART DARASA YAWAFUNGULIA MILANGO WADAU WAPYA WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU
WADAU wa Elimu nchini waaswa kutumia ubunifu mbalimbali kuhakikisha wanaongeza ufaulu na Kurahisisha nyezo za Watoto Mashuleni Kujifunza kwa Kutumia mifumo ya Teknolojia.
Akizungumza na...
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA ANAYEMALIZA MUDA WAKE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 09, 2024 amefanya mazungumzo na Balozi wa Italia Nchini Tanzania Balozi Marco Lombardi ambaye amemaliza muda wake, Ofisi...
WANANCHI WAMETAKIWA KUFANYA MAAMUZI MAZURI YA MATUMIZI YA KIFEDHA
Na Chedaiwe Msuya,WF, Kigoma
Serikali imewataka wananchi kufanya maamuzi mazuri ya matumizi ya kifedha kulingana na malengo waliyojiwekea, ikiwemo kuweka akiba, kupanga matumizi, na kudhibiti...
KURUGENZI YA UKAGUZI NA BIASHARA YA MADINI KUENDELEA KUJENGEWA UWEZO ILI KUBORESHA UTENDAJI KAZI
_ Idara ya Ukaguzi na Biashara ya Madini wasisitizwa kufanya kazi kwa uwajibikaji na ushirikiano.
Akifungua kikao kazi cha kuwajengea uwezo Watumishi wa Kurugenzi ya...
UFUTA UMEUZWA KWA SHILINGI 3653 KWA KILO MKOANI PWANI
Hatimaye Tani 3500 za ufuta zilizokwama kuuzwa tarehe 6 mwezi huu zimeuzwa mkoani Pwani Katika uzinduzi wa mnada wa zao la ufuta wa msimu...