SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko...
RC KANALI MTAMBI AIPONGEZA HALMASHAURI YA SERENGETI KWA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI
Na Shomari Binda-Serengeti
MKUU wa Mkoa wa Mara, Kanali Enock Mtambi, ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato ya...
ZIGO LA EURO NA Hisense , KUANZA SAFARI YA UJERUMANI KESHO, SOMA HAPA KUWA...
.
Aileen Kokushibila Tinka Mkazi wa Dar es Salaam ( Kulia ) ambaye ni mshindi wa tiketi ( Wiki ya Tano ) Kampeni ya ZIGO...
HELSB YAZINDUA KAMPENI YA “FICHUA KUWA HERO WA MADOGO”
Na Magrethy Katengu - Dar es Salaam
Bodi ya Mikopo Tanzania (HELSB) imezindua kampeni inayoitwa "Fichua Kuwa Hero wa Madogo", ambapo imeomba wananchi kuwafichua wanufaika...
BILIONI 346 KUIMARISHA USALAMA WA MILKI ZA ARDHI – MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imesaini mkataba wa sh. bilioni 346 na Benki ya Dunia kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji...
WANANCHI SERENGETI WAPAZA SAUTI KUMSHUKURU RAIS SAMIA UJIO WA MADAKTARI BINGWA
Na Shomari Binda-Serengeti
WANANCHI wilayani Serengeti mkoani Mara wamepaza sauti ya kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwapelekea madaktari bingwa wa kuwatibu.
Wakizungumza kwenye hospital ya...
MWAMBAO, NORAD WAUNGA MKONO JITIHADA ZA KUZUIA UVUVI HARAMU MKINGA
Na Boniface Gideon -MKINGA
Shirika la Mwambao Coastal Community Network Tanzania, chini ya ufadhili wa NORAD wamekabidhi Boti ya kisasa kwa ajili ya kufanya doria...