Friday, September 20, 2024
Home 2024 May

Monthly Archives: May 2024

SMAUJATA WATAKIWA KUONGEZA UBUNIFU ZAIDI WANAPOFIKISHA ELIMU NA UJUMBE KWA JAMII

0
Na Shomari Binda-Musoma MASHUJAA wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania (SMAUJATA) wametakiwa kuongeza ubunifu zaidi wanapofikisha ujumbe kwa jamii. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Katibu...

MAJALIWA: MICHEZO NI NYENZO MUHIMU INAYODUMISHA AMANI

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa Baraza la Michezo...

PATA GB 1 BURE UKIPAKUA SUPER APP YA TIGO PESA ILIYOBORESHWA ZAIDI , SOMA...

1
 Na Mwandishi Wetu Kadili siku zinavyozidi kusonga ndivyo teknolojia nayo inavyozidi kushika kasi na hapo ndipo Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo ilipoamua kuja...

SERIKALI HAITOZI KODI WANAOBEBA MIZIGO BINAFSI KATI YA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

0
Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) haitozi kodi kwa wasafiri kati ya Zanzibar na Tanzania bara wanaobeba vitu kwa...

IMF YARIDHISHWA NA NAMNA TANZANIA INAVYOTEKELEZA MPANGO WA ECF

0
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amelihakikishia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba, Serikali itaendelea kufanya maboresho ya sera na...

HOSPITALI ZOTE ZATAKIWA KUBORESHA MFUMO WA TEHAMA KURAHISISHA WAGONJWA KUONANA NA DAKTARI BILA KUPANGA...

0
Na Magrethy Katengu-Dar es salaam KATIBU Mkuu Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amezitaka hospitali nchini kuboresha huduma zao kwa kufanya miadi ya wagonjwa ya...

WAVUNAJI WA MAZAO YA MISITU WAVUNE NDANI YA MAENEO WALIYOPEWA VIBALI

0
Na Scolastica Msewa, BagamoyoWakala wa Huduma za misitu Tanzania TFS wamewataka Wavunaji wa mazao ya misitu nchini kuvuna mazao hayo ndani ya maeneo waliyopewa...

BILIONI 97.178 KUTUMIKA UJENZI BARABARA YA IFAKARA-MBINGU

0
Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Ifakara hadi Mbingu yenye urefu wa kilomita 62.5 utatumia Bilioni 97.178 Serikali kupitia...

MABALOZI WA AFRIKA NCHINI KUSHIRIKI MBIO ZA MARATHONI

0
Na Magrethy Katengu---Dar es salaam Mabalozi wa Nchi za Afrika nchini Tanzania wanatarajia kushiriki mbio za riadha kuanzia kilomita 5 hadi 15 zitakazofanyika Mei 18...

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI SAIDI YAKUBU

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi mpya wa Tanzania nchini Comoro...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma May 2024,
Karibu Tukuhudumie..