Thursday, September 19, 2024
Home 2024 May

Monthly Archives: May 2024

MWENGE WA UHURU 2024 WASHINDWA KUFIKA KWENYE MIRADI MIWILI RUFIJI, MAJI YAFUNIKA BARABARA

0
MWENGE wa Uhuru 2024 umelazimika kupokea taarifa ya miradi miwili ya maendeleo iliyopo Utete makao makuu ya wilaya ya Rufiji katika Kitongoji cha Bomba,...

RAIS SAMIA AMEFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya...

RAIS SAMIA AAGIZA HUDUMA ZA DHARURA MAENEO YALIYOATHIRIWA NA KIMBUNGA HIDAYA

0
RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ameagiza huduma za dharura zipelekwe kwenye maeneo yaliyopata athari kutokana na kimbunga Hidaya. Hayo yamesemwa leo (Mei 6, 2024) na...

RC CHONGOLO AIPA HEKO TANROADS // BIL 5.7 ZATOLEWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MIUNDOMBINU MKOANI...

0
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Daniel Chongolo ameipongeza timu ya wataalamu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kufanya kazi kwa haraka na...

CCM YAWAPIGA TAFU WAFANYABIASHARA NA MAFUNDI MAGARI.

0
Na Boniface Gideon,TANGA Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimewapiga jeki Vijana wanaojihusisha na Biashara ya kuuza nyama na Mafundi Magari walipo katika soko...

Dkt. Yonazi atoa pole kwa waathirika wa maafa Moshi

0
Na. MWANDISHI WETU, Moshi Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ametoa salamu za pole...

ALIYETAMBULIWA KUWA MFANYAKAZI BORA BUKOBA AIPONGEZA SERIKALI NA CHAKUHAWATA

0
Na Theophilida Felician Kagera. Mwalimu wa shule ya Sekondari Rwamishenye Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera Japhari Mohamedi Omari aliyefanikiwa kutunukiwa tuzo ya mfanyakazi bora kwenye...

TBS WAKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA VIPODOZI , WAWATAKA KUSAJILI BIDHAA ZAO

0
Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wafanyabishara wa bidhaa za vipodozi kuhakikisha wanasajili bidhaa zao , kuthibitisha ubora wake pamoja na kusajili...

MILIONI 107 KUNUNUA MBEGU ZA KURUDISHIA MAZAO KWENYE MASHAMBA YALIYOATHIRIWA NA MAFURIKO RUFIJI

0
Shilingi milioni 107 zimepatikana kwaajili ya kununua mbegu Bora za kilimo za kurudishia kilimo cha Wakulima ambao mashamba yao yaliathirika na mafuriko ya Mto...

TMA YATOA HALI YA MWENENDO WA KIMBUNGA CHA HIDAYA

0
Na Mwandishi wetu--- Dar es Salaam, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Mei 4,2024 Jijini Dar es salaam inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma May 2024,
Karibu Tukuhudumie..