TARURA KAGERA YAFUNGUA BARABARA MPYA KM. 826
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kagera imefanikiwa kufungua mtandao wa barabara mpya wa Km. 826 katika kipindi cha miaka...
KARAFUU YAINGIZA SHILINGI BILIONI 36 MOROGORO
KATIKA msimu wa 2023 Mkoa wa Morogoro umefanikiwa kuzalisha tani 2,000 za karafuu zenye thamani ya Shilingi bilioni 36.
Hayo yamesemwa na Katibu Tawala wa...
WASANII WALINDWE ILI WAONE MATOKEO YA KAZI ZAO – MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo kuhakikisha inawasimamia, kuwalinda na kutoa elimu kwa wasanii wote nchini kuhusu umuhimu wa...
DC SAME AMEWATAKA WANANCHI NA WAUMINI WA DINI KIKRISTO KUSHEHEKEA PASAKA KWA AMANI NA...
Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewataka Wananchi na Waumini wa dini ya Kikristo kusherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa kuendelea kudumisha...
WATUMISHI WA WIZARA YA FEDHA WAHITIMISHA TAMASHA LA PASAKA
Na Asia Singano na Chedaiwe Msuya – WF- Dodoma
Tamasha la Pasaka lililoandaliwa na Wizara ya Fedha Tanzania Bara na Ofisi ya Rais Fedha na...
MVUA CHANZO CHA UMEME KUZIMA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Doto Biteko amesema mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbili hapa nchini ndio chanzo cha umeme kukatika katika...
SABABU ZA HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRIDI YA TAIFA
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeeleza sababu iliyopelekea athari kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kukosekana umeme kwa baadhi ya maeneo nchini ni...
RAIS DKT. SAMIA ATOA WITO KWA WAUNINI WA WRM KUFANYA IBADA KWA USHIRIKIANO
Na Magrethy Katengu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Waumini wa Kanisa la The Word Reconciliation Ministries...
TANESCO YATOA TAARIFA KUHUSU HITILAFU KWENYE MFUMO WA GRID YA TAIFA
Shirika la umeme Tanesco limetoa taarifa kuhusu hutilafu kwenye mfumo wa gridi ya taifa.
Taarifa hiyo imetolewa baada ya kukosekana kwa huduma ya umeme kwa...