Friday, September 20, 2024
Home 2024 March

Monthly Archives: March 2024

MHE. KITANDULA AFUNGA MAFUNZO YA ASKARI 298 WA JESHI LA UHIFADHI WALIOHITIMU MAFUNZO YA...

0
Na Kassim Nyaki, Mlele Katavi. Naibu waziri wa Maliasili na utalii Mhe. Dunstan Kitandula (Mb) leo tarehe 23 machi, 2024 amefunga mafunzo ya kijeshi wa...

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI

0
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema anawaheshimu na kuwakubali wana CCM wa Pemba kwa misimamo yao thabiti...

TANZANIA NA KENYA ZAKUBALIANA KUTATUA VIKWAZO VYA  KIBIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU

0
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuendelea kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru kwa kuwa na Mpango wa pamoja wa kuwianisha tozo, ada , ushuru,...

BEI YA NISHATI SAFI YA GASI IPUNGUE ILI HATA FAMILIA DUNI ZIWEZE KUACHANA NA...

0
Na Scolastica Msewa, Kibaha.Mkurugenzi Mtendaji Jukwaa la Wazalendo huru Dk. Mohamed Mwampogwa ameomba serikali kuendelea kupigania kupungua kwa bei ya gasi ili hata zile...

BARABARA YA BARAFU – DARAJANI KUJENGWA KWA LAMI

0
Waziri wa Nchi OR-MU na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo akiwa ziarani katika Kata ya Mburahati amesema barabara ya Barafu -...

HII NDIO DAWA YA KUONDOKANA NA MADENI YA FEDHA

0
Naitwa Hassan mkazi wa Nairobi, Kenya, niliwahi kupitia hali ya kupata fedha mwisho wa mwezi lakini yote inaisha kwenye kulipa madeni yangu, kusema kweli...

JESHI LA POLISI MOROGORO LAMSHIKILIA MTU MMOJA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MKEWE

0
JESHI la Polisi mkoani Morogoro  linamshikilia mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mohamedi Omari  mkazi wa kijiji cha Kimamba A wilayani  Kilosa  kwa tuhuma...

RC MTANDA AWAITA WAFANYABIASHARA WAWEKEZAJI KUWEKEZA MKOA WA MARA

0
Na Shomari Binda- Musoma MKUU wa mkoa wa Mara Said Muhamed Mtanda amewaita wafanyabiashara na wawekezaji kuwekeza mkoa wa Mara kwani ni salama na una...

TIGO YACHAGULIWA KUWANIA TUZO YA ITU WSIS 2024 , SOMA HAPA KUPIGA KURA

0
 Na Mwandishi Wetu.  Tigo yachaguliwa kuwania Tuzo ya ITU WSIS 2024 Kupitia mradi wa UCSAF (Mfuko wa mawasiliano kwa wote) -Zanziba         ...

MIRADI YA BARABARA YAFIKIA 75% HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA – TARURA

0
Na.Catherine Sungura, Singida Utekelezaji wa miradi ya barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida upo hali nzuri kwa asilimia 75 ya miradi yote inayotekelezwa na...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma March 2024,
Karibu Tukuhudumie..