Sunday, September 8, 2024
Home 2024 March

Monthly Archives: March 2024

TAKUKURU YABAINI VIASHIRIA VYA RUSHWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO 1800 YENYE THAMANI YA...

0
MKURUGENZI wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana an Rushwa (Takukuru), Salum Hamduni amesema mwaka wa fedha 2022/2023 taasisi hiyo imebaini viashiria vya rushwa kwenye...

DKT. KIJAJI: WATANZANIA TUMIENI FURSA KUUZA BIDHAA UINGEREZA

0
Serikali imewashauri Watanzania kutumia fursa ya Mpango wa Biashara wa Nchi Zinazoendelea kwa kuhakikisha wanauza bidhaa kwa uadilifu na ubora katika soko la Uingereza...

TBS YAADHIMISHA SIKU YA VIWANGO AFRIKA NA KUTOA ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA...

0
 Na Mwandishi Wetu. Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) , Leo Machi 28, 2024 limeadhimisha siku ya viwango Afrika na kutoa vyeti na zawadi...

TANZANIA YAKARIBISHA WAWEKEZAJI SEKTA YA NISHATI.

0
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga amesihi wawekezaji kutoka Mataifa mbalimbali kuwekeza katika sekta ya nishati nchini ikiwemo eneo la nishati safi ya...

DKT. TULIA AHIMIZA MAPAMBANO DHIDI YA MABADILIKO YA TABIANCHI NA KULINDA AMANI YA DUNIA

0
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wanachama wa...

RC MAKALA AKOSHWA NA UONGOZI WA CHATANDA JINSI UNAVYOJENGEA UWEZO WANAWAKE NA MAKUNDI MBALIMBALI

0
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza CPA Amos Makala ameupongeza uongozi wa Mary Pius Chatanda, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania jinsi ambavyo...

TANZANIA YAPOKEA UGENI KUTOKA CHINA WAONESHA NIA YA KUWEKEZA

0
Na Magrethy Katengu Tanzania imepokea Ugeni wa Jopo la Wataalamu likiwa limeambatana na Wawekezaji na Viongozi wa Serikali kutoka Jimbo la Changzhou Nchi China ambao...

WANAKIJIJI WAANZA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA DAVID MASSAMBA MEMORIAL KUSOGEZA ELIMU JIRANI

0
Na Shomari Binda-Musoma WAKAZI wa Kijiji cha Kurwaki Kata ya Mugango wameanza ujenzi wa shule ya "David Massamba Memorial Secondary School" kusogeza elimu jirani. Sekondari hii...

TANZANIA SEHEMU SALAMA YA KUWEKEZA – DKT. MPANGO

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kutoka nchini China na mataifa mengine kuwekeza nchini Tanzania...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma March 2024,
Karibu Tukuhudumie..