ZIARA YA PAUL MAKONDA YABAINI DHULUMA WANAZOTENDEWA WANANCHI HASA ARDHI
Na Magrethy Katengu
KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Paul Makonda amesema katika ziara yake aliyoifanya hivi karibuni katika...
WATUHUMIWA 3 WAKUTWA NA PIKIPIKI 32 ZA WIZI
Na Magrethy Katengu J
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia Watuhumiwa 3 wakiwa na Pikipiki 32 walizoibiwa huku 13 zikitambuliwa na...
CHOMOKA NA BAJAJI UKIBASHIRI NA MERIDIANBET KUPITIA AKAUNTI YA TIGO PESA
Na Magrethy Katengu
Kampuni inayoongoza kwa kubashiri MERIDIANBET kwa kushirikiana na kampuni inayotoa malipo kwa njia ya simu Tigopesa wamezindua promotion mpya ya ''Chomoka na...
KIBALI CHATOLEWA UJENZI BARABARA MUSOMA-MAKOJO-BUSEKERA KILOMETA 42 KIWANGO CHA LAMI
-WAJUMBE BODI YA BARABARA WAWAPONGEZA MENEJA TANROADS, TARURA
Na Shomari Binda-Musoma
WAKALA wa barabara nchini TANROADS Mkoa wa Mara wamekihakikishia kikao cha bodi ya barabara mkoa...
WAKAAZI NYALUHAMA WAOMBA KUFUKIWA KWA SHIMO
WAKAZI wa Nyaluhama kata ya Buhongwa Jijini Mwanza wameomba Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwasaidia kufukia shimo linalohatarisha usalama wa watu katika eneo lao...
BODI CHAMA CHA USHIRIKA CHAPAKAZI KUFANYA ZIARA YA MAFUNZO MTWARA
Na Mwandishi wetu, Kibiti
MWENYEKITI wa Chama Kikuu Cha Ushirika Mkoa wa Pwani Mussa Mng'elesa ameahidi kupeleka bodi ya chama Cha Ushirika cha Msingi Chapakazi...
TBS NA WATAALAM WA VIWANGO AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA KUJADILI NA KUWEKA MFUMO MAALUM WA...
Na Mwandishi Wetu
Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) limeandaa Mkutano wa Siku nne na wataalam ( Trainers ) wa kila nchi hasa nchi...
WANANCHI JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI WAMSHUKURU WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KUWATEMBELEA
Na Shomari Binda-Musoma
WANANCHI katika jimbo la Musoma vijijini wamemshukuru Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa kuwatembelea na kuahidi kuendelea kujengwa kwa kiwango cha lami Barabara...
WANAWAKE KATA YA KITAJI WAPELEKA MAHITAJI KITUO CHA AFYA NYASHO
Na Shomari Binda-Musoma
JUMUIYA ya Wanawake (UWT) Kata ya Kitaji wamewatembelea na kusaidia sehemu ya mahitaji kwa wanawake wanaopata huduma na kujifungua kituo cha afya...
MUHEZA KWANZA WAPIGA JEKI VIFAA VYAKUJIFUNGULIA VITUO VYA AFYA MUHEZA
Na Boniface Gideon, MUHEZA
Shirika lisilo la kiserikali la Muheza kwanza mwishoni mwa wiki limetoa msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa akina mama zaidi ya...