WAZIRI MAVUNDE AZINDUA TIMU YA MAJADILIANO WIZARA YA MADINI
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Peter Mavunde leo tarehe 12 Machi, 2024 amezindua Timu ya Wizara ya Majadiliano katika Ukumbi wa Nishati, Jijini Dodoma.
Uzinduzi...
WANAWAKE DIT WAWATEMBELEA WENYE MAHITAJI MAALUM , MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Na Mwandishi Wetu.
Wanawake wa Taasisi ya Teknolojia Dar-es-salaam (DIT) wameadhimisha siku ya Wanawake Duniani kwa shughuli za kijamii ikiwemo kutembelea kituo cha mazoezi cha...
SELF MICROFINANCE FUND YAWAFIKIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI KWA MIKOPO NAFUU
Mudith Cheyo Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Self Microfinance Fund akizungumza katika kikao kazi kati ya Jukwaa la Wahariri na taasisi hiyo kilichoandaliwa...
MAAJABU YA AI : KLM WATANGAZA KUITUMIA KWENYE NDEGE ZAO KUOKOA CHAKULA
> Kwa kutumia modeli ya TRAYS AI, iliyoundwa mahsusi kwa ajili ya KLM, itaokoa karibia asilimia 63 ya chakula kupotea kwa kila abiria.
> Mtindo...
RAIS SAMIA APANGUA WAKUU WA MIKOA,WILAYA, WAKURUGENZI NA N/KATIBU MKUU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uamisho wa viongozi mbali mbali.
CHANDI AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI UCHAGUZI MDOGO UDIWANI KATA YA MSHIKAMANO
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara Patrick Chandi amezindua kampeni za udiwani Kata ya Mshikamano manispaa ya Musoma.
Akizindua kampeni...
JUKWAA LA WAZALENDO HURU LAWAKUMBUKA WANAWAKE WAFUNGWA LINDI
Na Scolastica Msewa, Kibaha.Jukwaa la Wazalendo huru mkoa wa Pwani Waadhimisha siku ya Mwanamke duniani kwa kwenda kupeleka msaada wa mahitaji mbalimbali muhimu katika...
CHINA YAKUTANISHA WATAFITI NA WATAALAMU WABOBEZI, WATETA KUKUZA UCHUMI NA MAHUSIANO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknoloji Profesa James Mdoe amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua mchango mkubwa unaotolewa...
MENEJA RUWASA ATOA SIKU SABA KUUNDWA KAMATI MPYA KUTATUA KERO YA MAJI SINGA
Na Ashrack Miraji, Same Kilimanjaro
Maneja wa RUWASA wilayani Moshi, Mussa Msangi, ametoa agizo la kuundwa kwa kamati mpya ya maji ndani ya siku saba...
WANANCHI WAMETAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS DKT. SAMIA KWA VITENDO UCHAGUZI WA SERIKALI...
Kuekelea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni, Wananchi Wilayani Same Mkoni Kilimanjaro wametakiwa kuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Rais Mhe....