MUWASA YAPIGA MARUFUKU WANANCHI KUUZA NA KUGAWA MAJI KWA MAJIRANI
-WANAOTAKA BIASHARA KUBADILISHIWA MATUMIZI
Na Shomari Binda-Musoma
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (MUWASA) imepiga marufuku wananchi kuuza na kugawa maji kwa majirani.
Licha...
PAC YARIDHISHWA NA UBORA WA UJENZI OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA
Na Jacquiline Mrisho – Maelezo
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Naghenjwa Kaboyoka amesema...
MKATABA WA KWANZA WA WAZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA WASAINIWA HAI, MBUNGE SAASHISHA AISHUKURU...
Na Ashrack Miraji
Mkataba wa kwanza wa Wazi katika vyama vya ushirika na ulioandikwa kwa lugha ya kiswahili na kingereza umesainiwa leo kati ya chama...
ORYX GAS YAUNGA MKONO KAMPENI YA SERIKALI MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
KATIKA muendelezo wa utekelezaji wa mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia uliozinduliwa na Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango hivi karibuni, Waziri...
ZIMBABWE YAVUTIWA NA MPANGO WA TANZANIA KUREJESHA MINADA YA VITO
Waziri wa Madini wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Soda Zhemu amesema kuwa Nchi yake imevutiwa na Mifumo ya Minada ya Madini ya Vito iliyo...
ALINIKIMBIA NA KUNIACHIA MTOTO, SASA NIPO NA MWINGINE ANANIFANYIA FUJO!
Kwa majina naitwa Bernad Shamte kutokea Taveta, Kenya, ni kijana wa umri miaka 28 nilikua na mwanamke nimezaa nae mtoto mmoja na nilikua nikiishi...
DKT. MWIGULU AITAKA IAA KUSIMAMIA KWA WELEDI UJENZI WA KAMPASI YAKE JIJINI DODOMA
Waziri wa Fedha Mhe. Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameuagiza uongozi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kusimamia kwa ukaribu ujenzi miundombinu yake inayoendelea kujengwa...
CCM WAANZA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NGAZI YA MASHINA
Mwenyekiti wa CCM kata ya Kitangiri Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza ameongoza zoezi la kusikiliza kero za wananchi ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye...
WAZIRI MHAGAMA AKABIDHI MAGARI NA PIKIPIKI KWA WATEKELEZAJI WA PROGRAMU YA AFDP
NA; MWANDISHI WETU – DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama amekabidhi vifaa...
BANDARI YA MTWARA YAPOKEA MITAMBO MIWILI YA KUPAKIA NA KUSHUSHA MIZIGO
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mkoa wa Mtwara imepokea Mitambo miwili ya kupakia na kushusha mizigo (mobile hubour crane) kutoka Bandari za...