Friday, September 20, 2024
Home 2024 March

Monthly Archives: March 2024

RC.BABU AMEWATAKA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI BAJAJI NA BODA BODA KUTOA USHIRIKIANO

0
Ashrack Miraji Same Kilimanjaro Kuelekea Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Mkoani Kilimanajaro Aprili 02,2024 RC Kilimanjaro Mhe. Nurdin Babu amewaomba viongozi na madereva...

“HII SIRI ITAKUPA UTAJIRI WA MAISHA YAKO YOTE” ALINIAMBIA YULE BOSI

0
Jina langu ni Nina kutoka Nairobi nchini Kenya, tangu nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana biashara, nakumbuka nikiwa kijijini kwetu huko mara kadhaa nilikuwa naenda...

MP KILANGO: RAIS SAMIA AMEFANYA MAMBO MAKUBWA SAME

0
Ashrack Miraji, Same Kilimanjaro Mbunge wa jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango amesema hayo leo Machi 19 2024 wakati wa uwasilishaji wa mafanikio ya miaka...

TBPL YASAINI MKATABA WA USAMBAZAJI WA VIUATILIFU HAI VINAVYOLINDA MAZAO NA AFYA ZA BINADAMU

0
Na Scolastica Msewa, Kibaha.Hatimaye kiwanda cha Kibaiolojia kinachomilikiwa na serikali cha Tanzania Biotech Product limited (TBPL) kilichoko Kibaha mkoani Pwani kimeingia rasmi mkataba wa...

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala Katiba na Sheria yapitisha makadirio ya bajeti...

0
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ya Ofisi ya...

VIJANA WALIOPATA MAFUNZO VETA WATAKIWA KUYATUMIA KATIKA KUWALETEA TIJA YA KIUCHUMI

0
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Huduma za Ustawi na Maendeleo ya Jamii Fatuma Hassan Toufiq amewataka vijana waliopata mafunzo ya Uanagenzi Veta...

DKT. BITEKO ASHIRIKI SHEREHE YA KUWEKWA WAKFU NA KUSIMIKWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA...

0
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto  Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo...

MAKAMU MWENYEKITI WA HALMASHAURI NA WANANCHI WENGINE 463 WAHAMA HIFADHI YA NGORONGORO .

0
Na Mwandishi wetu, NCAA. Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro ambaye pia ni Diwani wa kata ya Olbalbal iliyopo ndani ya hifadhi ya...

WAZIRI KAIRUKI, DKT. ABBASI WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA MAONO MAKUBWA KWENYE UHIFADHI NA UTALII

0
Ikiwa leo ni miaka mitatu tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Waziri wa Maliasili na...

WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU WATAKIWA KUENDELEA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA UBUNIFU

0
Waziri Wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera ,Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama ametoa wito kwa Baraza la Wafanyakaziwa Ofisi hiyo,kupitia taarifa ya...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma March 2024,
Karibu Tukuhudumie..