Sunday, September 8, 2024
Home 2024 March 14

Daily Archives: March 14, 2024

WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA FIGO KWA KUJIEPUSHA NA UNYWAJI POMBE KUPITA KIASI NA MATUMIZI YA...

0
Na Shomari Binda, Musoma SERIKALI imetoa ushauri kwa wananchi kutunza figo kwa kujieusha na matumizi ya unywaji pombe kupita kiasi na uvutaji wa tumbaku. Kauli hiyo...

“TUENDELEE KUUNGANA KUKABILIANA NA MAAFA NCHINI”

0
NA. MWANDISHI WETU Mkurugenzi Msaidizi Kituo cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu...

ZAIDI YA ASILIMIA 75% ZA MAKAMPUNI ZIMEKUWA ZIKIFANYA MAKOSA KATIKA UWASILISHAJI WA TAARIFA

0
Zaidi ya asilimia 75% za Makampuni zimekuwa zikifanya makosa madogo madogo katika Uwasilishaji wa taarifa za Umiliki Manufaa katika sehemu mbalimbali kama vile Ukokotoaji...

TUTAENDELEA KUIMARISHA USALAMA WA NCHI DHIDI YA MAJANGA NA MAAFA-MAJALIWA

0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha usalama wa nchi na mipaka yake dhidi ya majanga mbalimbali unaendelea kuimarishwa ili kujiandaa na kuwa...

MDAU WA MAENDELEO NCHINI APELEKA TABASAMU KWA WANANCHI WA KIJIJI CHA SINGA.

0
Ashrack Miraji, (Same) Kilimanjaro. Wanakijiji wa Singa, kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na Mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye...

TANZANIA YAPONGEZWA KWA USTAWI WA ADPA

0
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini imepongezwa na Wanachama wa Umoja wa Nchi zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) kwa kusaidia kustawisha Umoja huo wakati...

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA UMEME MKOANI ARUSHA

0
📌 Mradi wagharimu takribani Dola milioni 258 📌 Kunufaisha nchi zipatazo 13 Arusha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefanya ziara Mkoani Arusha kukagua...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma March 14, 2024,
Karibu Tukuhudumie..