Thursday, September 19, 2024
Home 2024 January

Monthly Archives: January 2024

SOMA HAPA JINSI YA KUJISHINDIA ZAWADI ZA MAGIFTI DABO DABO YA TIGO

0
Januari 4, 2024 Christina Latin Mrua Mkazi wa Salasala Dar Es Salaam amekabidhiwa rasmi zawadi yake ya Vifaa vya nyumbani kutoka HISENSE ambavyo ni...

“MTOTO ATAKAE CHELEWA KUFIKA SHULE KWA WAKATI KULIMA MATUTA KUMI (10)” RC ROSEMARY SENYAMULE.

0
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema mtoto atakaye chelewa kuanza Masomo kwa wakati atalima matuta kumi. hayo yamesemwa jana tarehe 04 Januari...

PROF.MUHONGO AZITEMBELEA NA KUZIFARIJI FAMILIA ZILIZOATHIRIKA NA MVUA KATA YA ETARO

0
Na Shomari Binda-Musoma MBUNGE wa jimbo la Musoma vijijini Profesa Sospeter Muhongo amezitembelea familia za kaya 15 zilizoathirika na mvua Kata ya Etaro. Familia zilizoathirika zaidi...

RAIS DKT.MWINYI ASHUHUDIA KARAFUU ZA MAGENDO BANDARINI WETE.

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametembelea Bandari ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba katika ziara ya kushtukiza...

DKT. BITEKO: SERIKALI ITAENDELEA KUWA SIKIVU KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI ILI KUSTAWISHA DEMOKRASIA NCHINI

0
Na Magrethy Katengu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuwa sikivu kusikiliza maoni yote yanayotolewa na wananchi...

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA IMEANZA VIKAO

0
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeanza Vikao vyake leo tarehe 03 Januari 2024. Aidha Kamati hiyo pamoja na mambo...

SMZ IMEJENGA SKULI ZA GHOROFA MIJINI NA VIJIJINI

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imejenga Skuli za kisasa za ghorofa Mijini, Vijijini pamoja na...

MBUNGE MATHAYO AHAIDI UMEME WA ELFU 27 KWA WANANCHI MTAA WA BWERI BUKOBA

0
Na Shomari Binda-Musoma MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo amewahakikishia wananchi wa mtaa wa Bweri Bukoba kupata umeme wa gharama nafuu. Amesema umeme huo...

MKUTANO HUU USIWE WA MAPAMBIO NA KUGEUZA KUWA MUHURI WA KUWASILISHA MAWAZO YA WATU...

0
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, amefungua Mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa unaoshirikisha wadau wa Demokrasia ya...

SERIKALI YASAINI MIKATABA 6 YA UWEKEZAJI MAHIRI WA WANYAMAPORI YENYE THAMANI YA DOLA ZA...

0
Na Magrethy Katengu Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wametiliana saini ya mikataba sita ya uwekezaji katika Maeneo...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma January 2024,
Karibu Tukuhudumie..